24.06.2018: MAMA WACHUNGAJI WA MLIMA WA MOTO MIKOCHENI "B" WAFANYIWA MAOMBI KATIKA IBADA YA KURUDISHIWA UTUKUFU
Wewe ambaye ulikosa ibada hii tunakualika katika ibada ya Jumapili hii hapa Mlima wa Moto Mikocheni "B". Ibada itaanza saa 3 asubuhi hadi saa 8 mchana.
Usafiri wa kufika kanisani ni bure kuanzia kituo cha mabasi cha Makumbusho na Mwenge kwenye mataa barabara ya Coca Cola, Ilala Stand, Tegeta Wazo, Goba Stand, Mbezi Mwisho/Kimara Stop Over, Buguruni Chama/ Mandela Road, Mbagala Rangi 3
Comments
Post a Comment