Ilikuwa ni sherehe ya kipekee ndani ya kanisa la Mlima wa Moto ambapo kijana Tibe Rwakatare na Bi Helen Benedict wamefunga ndoa. Watu mbalimbali wakiwemo maaskofu,
wachungaji, wageni mbalimbali kutoka ndani na nnje ya nchi wamehudhuria ibada
hiyo. Chini ni picha za matukio mbalimbali ya harusi hiyo. Tutaendelea
kukuwekea picha za sherehe iliyofanyika katika ukumbi wa kisasa wa Mlimani
City.
Comments
Post a Comment